Jukwaa la mtandao, litaunganisha wakulima, wanunuzi na wadhibiti na wazalishaji wataweza kuona hali ya soko kutoka popote walipo.
TMX ni ubadilishanaji wa bidhaa nchini Tanzania ambao ilianzishwa kusaidia wakulima kuweza kupata soko la ndani na la kimataifa yenye bei nzuri katika uuzaji wa mazao yao.
Wanunuzi wa ndani na wa nje ya nchi watahitajika kujiandikisha na Bodi ya korosho Tanzania.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |