Meli ya mafuta ya Uingereza Stena Impero iliyoachiwa huru na Iran bado haijaondoka katika bandari ya Iran. Shirika la habari la Iran ISNA limemnukuu mkuu wa shirika la bandari na uchukuzi baharini la Iran Mohammad Rastad akisema meli hiyo inaweza kuondoka kwenye bahari ya Iran wakati wowote.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |