Mahakama Kuu ya Uingereza imeamua kuwa uamuzi wa waziri mkuu Boris Johnson wa kuahirisha bunge kwa wiki tano unakwenda kinyume na sheria. Uamuzi huo wa kauli moja uliotolewa na majaji 11 wa Mahakama Kuu mjini London, unamaanisha kuwa bunge linaweza kurejea tena.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |