Rais Xi Jinping wa China ametoa salamu za pongezi kwa wachezaji wote wanawake wa timu ya mpira wa wavu ya China kutokana na kushinda kombe la dunia la mpira wa wavu kwa mwaka huu.
Rais Xi amewataka waendelee na juhudi zao, kutojivuna na kubweteka, na kupata mafanikio zaidi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |