• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Kampuni ya mawasiliano ya Airtel ya tengeneza hasara kwa nchi tatu za Afrika Mashariki na kufikia dola milioni 46.5

    (GMT+08:00) 2019-09-30 20:18:07
    Kampuni ya mawasiliano ya Airtel Tanzania hasara yake ilifikia dola milioni 15.94 mwaka jana kutoka dola milioni 47.1 mwaka 2017, wafadhili wa kampuni ya mawasiliano wameonyesha.

    Licha ya utendaji kazi mzuri, hasara hiyo iliongezeka, kampuni ya Airtel nchini Tanzania jumla ya hasara yake ilifikia dola milioni 436.6.

    Mapato ya kampuni hiyo ilifikia dola milioni 202.6 mwaka wa 2018 kutoka dola milioni 212.9 mwaka uliopita, ripoti yake ya kila mwaka inaonyesha.

    Uganda ndio nchi pekee Afrika Mashariki iliyotengeneza faida nzuri katika biashara ya kampuni ya mwasiliano mwaka 2018.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako