• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Zambia: IMF yaonya Zambia kuhusu deni

    (GMT+08:00) 2019-10-01 19:20:20
    Shirika la fedha la kimataifa IMF limeonya Zambia kuwa deni lake limeanza kufikia kiwango ambacho haiwezi kulimudu.

    Kufuatia onyo hilo Waziri wa fedha nchini humo Bwalya Ng'andu amesemaa Zambia itaahirisha na kufuta mikopo kadhaa iliyopangwa.

    Zambia imetangaza bajeti yake ya mwaka 2019/20 ya dola bilioni 8 ambayo ni asilimia 32 ya pato lake la taifa.

    Kulingana na taakwimu za IMF deni la nje la Zambia lilifikia dola bilioni 10 kufikia Juni 2019.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako