Kauli hiyo imetolewa na Mratibu wa kongamano hilo, Abdulsamad Abdulrahim alipokuwa akizungumza na wanahabari jijini Dar es salaam.
Mambo mengine mapya ni pamoja na kuwa na uwakilishi wa mjasiriamali kutoka mikoa yote nchini, matumizi ya teknolojia ya mawasiliano wakati wa Kongamano pamoja na utoaji wa zawadi kwa washindi watatu wa uandishi wa Insha.
Kongamano hilo limeandaliwa Kwa ushirikiano wa Jumuiya ya Watoa huduma ya Mafuta na Gesi nchini (Atogs), Ewura, PURA, TPDC, pamoja na Kampuni inayoandaa makongamano ya Kimataifa(CWC Group)
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |