Shirika la Kimataifa la Uhamiaji IOM limesema, misiba mfululizo ya uhamiaji iliyotokea kwenye Bahari ya Mediterania imesababisha vifo vya watu 994. Idadi ya vifo vya watu itakuwa zaidi 1,000, na mwaka 2019 utakuwa mwaka wa sita kwa IOM kurekodi idadi ya vifo vya watu zaidi ya 1,000 kwenye eneo hilo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |