akizungumza na wahandishi wa habari Njoroge amesema kuwa kati ya noti milioni 217 za Sh1,000, milioni 209.6 zimerudishwa na mwisho wa mchakato.
Njoroge amesema kuwa mchakato huu umefanikiwa kwa sababu CBK imekamilisha vizuri, na pesa chafu, na Kuchanganya na Ufadhili wa Ugaidi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |