Safari hizo zitakuwa kati ya mji mkuu Kigali na Ubelgiji na zitaendeshhwa na shirika la uingereza la Magma Aviation.
Kulingana na mamlaka ya kuuza nje bidhaa za kilimo la Uganda ndege hiyo itahudumu kila ijumaa na kusafirisha tani 25.
Mauzo ya nje ya Rwanda yaliongezeka kwa asilimia 7.5 na kuiletea dola milioni 577 katika nusu ya kwanza ya 2019.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |