Shirika la ndege la American Airlines Group limeongeza muda wa marufuku kwa safari zote zinazohusisha ndege aina ya Inc Boeing 737 MAX hadi Januari 15 mwaka ujao
Shirika hilo ambalo ndilo kubwa nchini Marekani awali lilikuwa limefuta safari 140 kwa siku hadi Disemba 3, na li,etanga kuwa faida yake itaongezeka hadi dola bilioni 15.
Mashirika mengi duniani yameacha kutumia ndege aina ya Boeing 737 MAX tangu mwezi Machi baada ya ajali za Indonesia na Ethiopia ambazo ziliuwa watu 346 ndani ya miezi 5 tu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |