Kufuatia mialiko ya waziri mkuu wa India Bw. Narendra Modi na rais Bidhya Devi Bhandari wa Nepal, Rais Xi Jinping wa China hii leo ameondoka Beijing na kwenda India kuhudhuria mkutano usio rasmi wa pili kati ya viongozi wa China na India, na kufanya ziara nchini Nepal.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |