• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Afrika kusini yapigia debe uwekezaji badala ya misaada

    (GMT+08:00) 2019-10-15 16:54:09
    Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa ametoa wito kwa uwekezaji zaidi barani Afrika akisema ziku za baadaye za bara hilo zitategemea biashara na sio misaada.

    Ramaphosa ameyasema hayo Jumatatu wakati akizungumza kwenye mkutano wa kibiashara wa Financial Times mjini London Uingereza.

    Mkutano huo wenye maudhui ya 'Africa in Motion', unaangazia viajan, wanawwake, wajasiriamali, wanasayansi na wavumbuzi wa Afrika.

    Aidha Ramaphosa alisema kuwa mpango wa Afrika wa kuzindua eneo huria la kibiashara unalenga kufungua uwezo wa bara hilo kujiendeleza kiuchumi.

    Soko huru la Afrika lina zaidi ya watu bilioni 1.2 na pato la jumla la dola trilioni 3.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako