• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • SOKA:TFF imemtangaza Mkurugenzi wa Ufundi msomi kuliko wote

    (GMT+08:00) 2019-10-17 18:30:47
    Shirikisho la soka Tanzania TFF leo limetangaza vigezo ilivyovitumia kumuajiri Oscar Mirambo kuwa mkurugenzi mpya wa ufundi wa TFF, Mirambo ambaye ana leseni daraja B ya ukocha kabla ya kutangazwa kuwa mkurugenzi wa ufundi alikuwa kocha. Mirambo alikuwa kocha msaidizi wa kikosi cha Serengeti Boys kilichoshiriki fainali za mataifa ya Afrika U 2017 nchini Gabon na yale yaliofanyika Tanzania kama mwenyeji alikuwa kocha mkuu licha ya kuwa haikupata matokeo chanya sana, hizi ndio sifa na CV ya Oscar Mirambo zilizotangazwa na katibu leo.
    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako