Wanyarwanda wawili ni miongoni mwa wajasiriamali walioteuliwa.
Wanyarwanda hao ni mwanzilishi wa kampuni ya viatu ya UZURI KY,Kevine Kagirimpundu na Christelle Kwizera,mwanzilishi wa Water Access Rwanda ambayo ilianzisha mradi wa kuvitengeza visima vilivyoharibika na kuvifanya kuwa vibanda vya kisasa vya maji vinavyotumia umeme wa jua.
ANPI ni mpango wa uhisani unaoongozwa na Wakfu wa Jack Ma,ambao unalenga kuwasaidia kuhamasisha kizazi kijacho cha wajasiriamali wa Afrika.
Washindi watapokea zawadi ya $1 million.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |