Baadaye, maafisa wa usalama wa serikali walichukuwa usukani wa kulinda maeneo hayo hadi pale wamiliki wake watakapo lipa ushuru kwa serikali. Kwa sasa wafanyibiashara walioathirika na hatua hii ya URA, wameanza harakati ya kulipa malimbikizi yao ya ushuru kwa serikali.
URA imetoa shinikizo kwa wamiliki wa biashara mbali mbali kuwajibika na kulipa ushuru kwa wakati ufaao ili kuepuka kufungiwa biashara zao.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |