• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Waangizaji, na Mamlaka ya Mapato ya Uganda (URA) wakorofishana juu ya sehemu ya malipo.

    (GMT+08:00) 2019-10-21 20:59:45
    Waagizaji wamegongana na Mamlaka ya Mapato ya Uganda juu ya pendekezo la hivi karibuni la kurekebisha malipo ya Ushuru wa Forodha.

    Wakati walipa ushuru wanataka kulipwa katika kiingilio cha bandari , waagizaji wanapendelea malipo kufanywa chini ya mfumo wa sasa mara tu bidhaa zinavyoingia nchini.

    Kulipa katika kiingilio cha bandari, inamaanisha waagizaji hawatatumia huduma ya ghala, ambayo iliruhusu wakati wa kuhifadhi bidhaa zao wakiendelea kutafuta fedha za kamilisha majukumu yao ya ushuru.

    Maagizo haya mapya yanaweka shinikizo kwa Ofisi ya Kitaifa ya Viwango ya Uganda ili kudhibiti uagizaji vizuri.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako