• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • IMF yapongeza nafasi ya China katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi

    (GMT+08:00) 2019-10-22 17:05:20

    Naibu mkurugenzi wa Idara ya Masuala ya Hazina katika Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) Bw. Paolo Mauro ameipongeza China kwa kuchukua nafasi yake katika vitendo vya pamoja vya kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi.

    Akizungumza na Shirika la Habari la China Xinhua kando ya mkutano wa mwaka wa IMF na Benki ya Dunia uliofanyika mjini Washington, Marekani, Bw. Mauro amesema China ni nchi muhimu, sio tu kwa uchumi wa dunia, bali pia katika kupambana na mabadiliko ya tabianchi.

    Amesema China inachukua hatua za kukabiliana na mabadiliko ya hali ya jewa na imepata mafanikio dhahiri.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako