• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Bandari ya Lamu kutumika kuuza nje mafuta

    (GMT+08:00) 2019-10-22 19:18:52
    Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amesema serikali itatumia bandari ya Lamu kusafirisha mafuta kutoka Turkana.

    Serikali awali ilikuwa imetangaza mipango ya kujenga kiwanda cha kusafisha mafuta lakini baadaye ikasema mafuta yaliopo eneo la Turkana hayatoshi kibiashara kujenga kiwanda kama hicho.

    Katibu wa kudumu kwenye wizra ya petrol Andrew Kamau anasema kiwanda cha kusafisha mafuta kinaweza kujengwa ikiwa Kenya inazalisha mapipa 400,000 kwa siku.

    Kenyatta amesema mipango ya baadaye ni kuunnganisha miundo mbinu mingine kama reli na barabara kati ya bandari hiyo na Sudan Kusini na Ethiopia.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako