Rais Donald Trump wa Marekani ametangaza kuwa kutokana na Uturuki kukubali usitishaji vita wa kudumu kaskazini mwa Syria, Marekani itaondoa vikwazo dhidi ya nchi hiyo vilivyoanza kutekelezwa siku 10 zilizopita. Jeshi la Uturuki lilianzisha operesheni ya kijeshi dhidi ya wanamgambo wa Kikurdi katika sehemu ya kaskazini ya Syria tarehe 9 mwezi huu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |