Takriban benki nne zinazoendesha shughuli zao ndani ya Afrika Mashariki zimetajwa miongoni mwa taasisi bora 1,000 za kifedha duniani.
Benki hizo,ikiwa ni pamoja na Equity,KCB,Diamond Trust na Co-operative,Ripoti hiyo inasema zilisimamam na kukabili mazingira magumu ya uendeshaji mwaka 2019 na kuandikisha ukuaji mkubwa.
Ripoti hiyo iliyotolewa ba Jarida la Fedha la mjini London la The Banker,lililochapishwa na Financial Times,inaonyesha kuwa benki hizo nne,ambazo kwa kiwango kikubwa ni za kibiashara,zilidumisha ukuaji katika faida.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |