Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya China Bw. Geng Shuang leo amesema, makamu wa rais wa Afrika Kusini David Mabuza atafanya ziara nchini China kuanzia tarehe 30 Oktoba hadi tarehe 3 Novemba.
Akiwa nchini China, Bw. Mabuza kwa pamoja na makamu wa rais wa China Wang Qishan wataendesha mkutano wa 7 wa wajumbe wote wa kamati ya uhusiano kati ya China na Afrika Kusini.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |