Jeshi la Ulinzi la Israel limesema limetuma ndege za kivita kuangusha ndege isiyo na rubani, ambayo ilipaa kwa urefu usio wa kawaida kwenye anga juu ya Ukanda wa Gaza. Hivi sasa ukanda wa Gaza bado haujatoa maelezo juu ya tukio hilo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |