Kenya inaagiza umeme zaidi kutoka Uganda kwa sababu Uganda ilipunguza ushuru kutoka Sh787.3 hadi Sh501.
Wizara ya Nishati nchini Kenya imesema ongezeko hilo la ununuaji umeme zaidi kutoka Uganda limetokana na nchi hiyo kuipunguzia Kenya ushuru kwa asilimia 50 tangu mwezi Juni.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |