Waziri mkuu wa China Bw. Li Keqiang leo amewasili nchini Uzbekistan kwa ziara ya kiserikali ambapo pia atashiriki kwenye mkutano wa 18 wa wakuu wa serikali za nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO).
Bw. Li pia atafanya ziara nchini Thailand na kushiriki kwenye mkutano wa 22 wa viongozi wa China na Umoja wa Nchi za Asia ya Kusini Mashariki ASEAN, mkutano wa 22 wa viongozi wa China, Japan, Korea Kusini na ASEAN na mkutano wa 14 wa Asia Mashariki.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |