Maonyesho ya pili ya kimataifa ya uagizaji wa bidhaa yatafunguliwa Jumanne ijayo mjini Shanghai, na rais Xi Jinping wa China atahudhuria maonyesho hayo na kutoa hotuba.
Wakati huohuo, Shirika Kuu la Utangazaji la China (CMG) na vyombo vingine vikuu vya habari vya China vitatangaza moja kwa moja ufunguzi wa maonyesho hayo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |