Taarifa iliyotolewa na waziri wa mambo ya nje wa Marekani Mike Pompeo imesema nchi hiyo imeanza mchakato wa kujitoa kwenye Makubaliano ya Paris. Mwezi Juni mwaka 2017, Rais Donald Trump alitangaza kuwa nchi yake itajitoa kwenye Makubaliano hayo. Kwa mujibu wa Makubaliano hayo, Marekani inatarajiwa kujitoa rasmi kwenye Makubaliano hao Novemba 4 mwakani.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |