• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Wakulima waanza kuuza pilipili mashariki ya kati

    (GMT+08:00) 2019-11-05 20:25:30

    Wakulima wa pilipili ambao awali walikuwa wanauza bidhaa hiyo katika soko la ulaya sasa wameanza kuuza Mashariki ya kati.

    Mabadiliko hayo yanatokana na kuongezeka kwa uthibiti kwenye soko la ulaya kutokana na kuwepo kwa wadudu wanaoshambulia mimea.

    Mkurungezi mkuu wa chama cha wakuza mboga na matunda Ojepati Okesegere amesema sasa asilimia 90 ya kampuni zilizokuwa zikiuza pilipili kwenye soko la ulaya zimeanza kuuza soko la mashariki ya kati.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako