Wizara ya mambo ya nje ya Marekani imemtaja Amadou Kouffa, mwanachama maandamizi wa kundi la Jama'at Nusrat al-Islam wal-Muslimin JNIM kuwa gaidi maalumu wa kimataifa SDGT. Taarifa iliyotolewa na wizara hiyo inasema, Bw. Kouffa aliongoza shambulizi dhidi ya jeshi la Mali mapema mwaka huu, ambalo limesababisha vifo vya askari zaidi 20.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |