Rais Xi Jinping wa China ameondoka Beijing kuelekea Ugiriki kwa ziara rasmi nchini humo, na pia atakwenda Brazil kuhudhuria mkutano wa 11 wa viongozi wa nchi za BRICS ambazo ni Brazil, Russia, India, China na Afrika Kusini utakaofanyika mjini Bavaria.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |