Kufutwa kwa kampuni hiyo, taarifa zinaonyesha kutapunguza ukubwa wa mtaji wa soko hilo kutoka Sh19.67 trilioni uliokuwapo mwishoni mwa wiki iliyopita hadi Sh16.94 trilioni.
Wakati ukubwa wa mtaji wa soko zima ukipungua, ule wa kampuni za ndani, Sh9.01 trilioni, hautabadilika.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |