• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Uwekezaji wa miundo mbinu Afrika wafikia dola bilioni 100

    (GMT+08:00) 2019-11-19 19:31:56
    Kampuni za uwekezaji wa miundo mbinu barani Afrika ICA zimesema ufadhili wa miundo msingi umeongezeka kwa asilimia 24 mwaka 2018.

    Taarifa ya kampuni hizo inasema kuwa uwekezaji wa miundo mbinu umezidi dola bilioni 100.

    Hata hivyo taarifa hiyo imesema kuwa bado kunasalia mwanya wa uwekezaji wa dola bilioni 92 kila mwaka.

    Mahitaji uya uwekezaji kwenye miundo mbinu barani Afrika kila mwaka ni kati ya dola bilioni 130 na 170

    Sekta ya maji ndio inayotengewa fedha ndogo na inahitaji dola bilioni 66 kila mwaka.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako