Kaimu Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Africa Mashariki Christophe Bazivumo akiongea na waandishi wa Habari mara baada ya kuzindua kikao cha siku nne, cha wadau wa Nchi wanachama wa EAC.Picha na Daniel Sabuni, Arusha
Joiyce Kimaro, Mshauri Mkuu wa Programu ya IIdea, amesema wananchi hao wamewezeshwa kwa kubuni wazo la biashara ambalo linahusisha au kugusa sekta mbili zilizomo ndani ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Amesema mawazo hayo yalipitishwa kwenye programu hiyo iliyoanza kutekelezwa Mwaka 2016 na kupatiwa elimu ya biashara husuani masoko na jinsi kufanya biashara na kupata faida.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |