Msemaji wa wizara ya biashara ya China Bw. Gao Feng amesema, timu za kibiashara na kiuchumi za China na Marekani zitaendelea kufanya mawasiliano.
Amesema, China inapenda kufanya juhudi pamoja na Marekani kutatua ipasavyo ufuatiliaji wa upande mwingine, ili kufikia makubaliano ya kipindi cha kwanza juu ya msingi wa usawa na kuheshimiana. Hali hiyo inalingana na maslahi ya pamoja ya pande mbili, ambayo pia inaendana na maslahi ya dunia.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |