Waendeshaji hao wa pikipiki wamepewa hadi Julai mwaka ujao kuaza kutumia mita hizo.
Tayari baaadhi ya wadau wameanza kujisajili kwa mita hizo ambazo pia zitapunguza matumizi ya pesa taslim wakati wa ulipaji.
Moita hizo zitauzwa na kampuni za Pascal Technology Ltd Rwanda na Altron, ya Afrika Kusini ambazo tayari zimetiasaini makubaliano ya kuwekeza dola milioni 18.
Rwanda ina zaidi ya wanedeshaji pikipiki 36,000.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |