Hata hivyo mfumko huo bado ni asilimia 2.3 chini ya lengo la sera la asilimia 5.
Ofisi ya Takwimu ya Uganda imesema kwamba kuongezeka kwa mfumuko wa bei kunasababishwa na mfumuko wa bei wa msingi wa kila mwaka, ambao uliongezeka hadi asilimia 2.9. kutoka asilimia 2.6 iliyosajiliwa mwaka uliopita kufuatia kupanda kwa bei ya nguo na viatu wakati huu wa kuelekea sikukuu ya Krisimazi.
Akiwasilisha ripoti ya Bei ya Watumiaji ya Novemba katika Idara ya taakwimu, mkurugenzi wa Takwimu za uchumi Bi Aliziki Kaudaha Lubega alisema mfumuko wa bei wa Uganda unafuata msingi wa misimu ambao tayari serikali imetafiti.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |