Msemaji wa wizara ya biashara wa China Bw. Gao Feng amesema, kama China na Marekani zitaweza kufikia makubaliano ya biashara ya kipindi cha kwanza, zitapaswa kupunguza ushuru.
Gao Feng amesema, wajumbe wa kiuchumi na biashara wa pande hizo zote mbili wanaendelea kuwasiliana katika mazungumzo ya kiuchumi na kibiashara kati ya nchi hizo ambayo yanafuatiliwa sana na jamii ya kimataifa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |