Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema mkutano wa pili wa kilele wa pande nne kuhusu Syria kwa Uingereza, Ufaransa, Ujerumani na Uturuki utafanyika mjini Istanbul mwezi Februari. Rais Erdogan amesema wamekubaliana kuwa mkutano huo wa kilele wa pande nne unafanyika kila mwaka. Viongozi wa nchi hizo nne walikutana na kujadiliana kuhusu Syria Jumanne pembezoni mwa mkutano wa kilele wa NATO mjini London.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |