Shirikisho la Riadha la Rwanda likishirikiana na Mji wa Kigali, wanaandaa Nusu Marathon ya Kigali, inayopangwa kufanyika Jumapili, Disemba15. Haya yatakuwa ni mashindasno ya kwanza ya ina hiyo kufanyika tangu mwaka 2004 ambapo yalikuwepo mashindano ya Kimataifa ya Kigali Peace Marathon. Kwa mujibu wa waandaaji, Zaidi ya wakimbiaji 2,000 wanatarajiwa kushiriki. Mbio hizo zikiwa na wastani wa umbali wa km 21.098, pia zitatumika kama mchujo kwa wakimbiaji watakaofuzu kuiwakilisha Rwanda katika mbio za Nusu Marathon Duniani 2020 zitakazofanyika Gdynia, Poland.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |