Jeshi la Uganda limesema linawarudisha maveterani 2700 ili kuunga mkono askari waliopelekwa kwenye Tume ya Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM. Kamanda wa Jeshi la UPDF Luteni Jenerali Charles Otema amesema maandalizi yote yatakamilishwa kwa ajili ya kazi ya kuwarudisha wanajeshi hao, ambayo itaanza jumatatu ijayo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |