Chini ya uungaji mkono wa Ubalozi wa China nchini Zimbabwe, shirikisho la wafanyabiashara la wachina nchini humo limechangia bidhaa mbalimbali kwa Houssana Love kwenye Nyumba ya Watoto na Shule ya Msingi ya Hassana huko Harare. Shirikisho hilo pia limeboresha miundo mbinu katika shule hiyo kwa kukarabati madarasa na bweni, na kujenga choo kipya na bwawa la samaki.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |