Waziri mkuu wa Uingereza Bw. Boris Johnson ameendesha Mkutano wa kwanza wa kilele wa uwekezaji kati ya Uingereza na Afrika ukiwa ni sehemu ya juhudi za serikali ya nchi hiyo katika kutatua changamoto mbalimbali kutokana na Uingereza kujiandaa kujitoa Umoja wa Ulaya tarehe 31 Januari. Bw. Johnson amesema wanataka kujenga mustakabali mpya wa taifa hilo lenye biashara huria.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |