Klabu ya soka ya KMKM inayoshiriki Ligi Kuu Zanzibar, imetamba kufanya vyema katika mashindano ya FA Cup 2020. Kocha mkuu wa timu hiyo Ame Msimu amesema, kikosi chake kinajiandaa na kimejipanga kikamilifu, na kuongeza kuwa timu zote anazijua udhaifu wake na hala cha kuogopa. Pia amesema, kutokana na marekebisho waliyofanya katika kikosi chake, anaamini kuwa watatimiza malengo ya kutwaa Kombe hilo mwaka huu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |