Takwimu kutoka Mamlaka ya taifa ya maji ya Zimbabwe ZINWA zimesema kiwango cha maji kwenye bwawa la taifa nchini Zimbabwe kimefikia asilimia 49.2 Januari 20, likiwa ni ongezeko la asilimia 0.88 kutoka kiwango cha Januari 13. Ongezeko hilo kutokana na mvua kubwa zilizonyeshwa katika sehemu kubwa nchini humo katika wiki iliyopita.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |