Ujumbe wa Kenya Ukiongozwa na Rais Uhuru Kenyatta unaelekea Amerika wiki hii kwa majadiliano juu ya mpango mpya wa biashara ambao maafisa wanasema itakuwa tofauti na Sheria ya Fursa ya Ukuaji wa Afrika (Agoa), na kuweka muelekeo kwa bara la Afrika.
Kenya inatafuta mpango ambao hauategemea kutengenezwa upya mara kwa mara.
Maafisa kutoka Nairobi wanasema wameamsha mazungumzo "ya kuzuia" kupata nafasi ya Agoa haraka iwezekanavyo.
Agoa ilisainiwa mwaka wa 2000 na Rais Bill Clinton na imetengenezwa upya mara mbili.
Na Itaisha mnamo Septemba 2025.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |