Wizara ya usimamizi wa mambo ya dharura ya Rwanda imesema, maporomoko ya udongo yaliyotokana na mvua kubwa yamesababisha vifo vya watu 13 na wengine 13 kujeruhiwa katika sehemu tofauti nchini humo, huku ikionya kuwa idadi ya vifo inaweza kuongezeka. Wengi wa waliofariki wako sehemu za Kicukiro, Gasabo, Nyarugenge mjini Kigali,.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |