Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Harrison Mwakyembe amesema Watanzania hawana budi kuonesha mapenzi yaliyopitiliza kwa Mtanzania Mbwana Samatta ambaye kwa sasa anakipiga ndani ya Aston Villa ila wasimuharibie kwenye Klabu yake mpya na mazoea na wachezaji wenzake. Waziri Mwakyembe amewaasa Watanzania kuacha kuandika maoni yao yasiyokuwa na tija kwa hatma ya Mbwana Samatta.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |