China imerusha roketi ya Long March-2D iliyobeba satelaiti nne mpya za majaribio ya teknolojia kutoka kituo cha kurushia satelaiti cha Xichang, mkoani Sichuan, kusini magharibi mwa China. Satelaiti hizo zitatumika kwa majaribio mapya ya teknolojia ya uchunguzi wa sayari ya Dunia. Urushaji huo ulikuwa ni wa mara ya 326 kwa kutumia roketi ya Long March.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |