Ofisi ya Siasa ya Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China CPC imefanya mkutano kuhusu kuzuia na kudhibiti ugonjwa wa virusi vipya vya korona COVID-19 na uratibu kati ya udhibiti wa maambukizi na maendeleo ya kiuchumi na kijamii.
Rais Xi Jinping wa China ambaye pia ni katibu mkuu wa Kamati Kuu ya CPC ameongoza mkutano huo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |