Faida halisi ya kampuni hiyo ilishuka kwa silimia 92 kutoka Sh3.26 bilioni hadi Sh262 milioni katika kipindi cha mwaka fedha kufikia Juni — faida ya chini kabisha tangu kurejea katika utengenezaji faida mwaka 2004 baada ya kuandikisha hasara ya Sh2.89 bilioni mwaka kabla ya huo.
Kampuni ya Kenya Power imesema gharama za kununua umeme kutoka kwa wazalishaji kama vile KenGen ziliongezeka kwa Sh18 bilion katika kipindi hicho.
Aidha kampuni ya Kenya Power imetuma ombi la kwa mdhibiti wa nishati kuongeza bei ya umeme , ikisema kuwa ni muhimu katika kuiingizia faida.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |